Saturday, January 20, 2018

KESHO CCM INAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA SIHA NA KINONDONI

Inakutaarifu kuwa kesho Tarehe *21/01/2018* utafanyika  mkutano wa kuzindua kampeni za Ubunge na Madiwani Jimbo la SIHA utafanyika kesho *saa nane (8:00) mchana* uwanja wa *KKKT Karansi.*

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo atakuwa *Mh. MWIGULU NCHEMBA* na viongozi wengine wa Kitaifa.

Kwa taarifa hii viongozi wa *UVCCM* kutoka  ngazi  zote mnahimizwa kuhudhuria na kuwapa taarifa wanachama wote wa *UVCCM* na  *CCM* na kuwahamasisha kuhudhuria katika Mkutano huo!

Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kwa namna tutakavyo pokea!

Ahsante!

*IMETOLEWA NA IDARA YA UHAMASISHAJI NA CHIPUKIZI MKOA KILIMANJARO!*

*TUKUTANE KAZINI*

No comments:

Post a Comment