Friday, March 30, 2018

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana ajumuika na mamia ya watu kuhudhulia mazishi ya Sarah Ngosha

Mbunge Jimbo la Nyamagana Mhe Stanislaus Mabula amejumuika na mamaia ya wakazi wa Mkoa wa Mwanza kuhudhulia mazishi ya Sarah Ngosha mama yake Mbunge wa Jimbo la Sunve mhe Ndassa wilayani Kwimba  hivi leo.Mhe Mabula alipata fursa ya kutoa salamu za rambi rambi pamoja na kushiriki maziko.

Raha ya Milele umpe Sarah na Mwanga wa Milele umwangazie mama yetu mpendwa. Apumzike kwa Amani. Amen

Imetolewa na,
Ofisi ya Mbunge,
Jimbo la Nyamagana




No comments:

Post a Comment