Katibu wa ccm mkoa wa mwanza mwalimu Raymond Magwara ameendesha semina elekezi kwa wajumbe wa halimashauri kuu ya ccm (w) Nyamagana leo tarehe 13/5/2018
Katibu amefundisha mambo mhimu yote ikiwemo namna ya viongozi kujitambua na kujua ITIFAKI zote kama viongozi
Katibu alisisitiza mabadiliko yenye kuleta tija ndani ya chama na jamii yote ilikuongeza ufanisi wenye kuzaa matunda ndani ya chama na serikari .







No comments:
Post a Comment