Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula inawatakia kheri na fanaka waislamu wote na waTanzania kwa ujumla katika kusheherekea Siku kuu ya Eid el Hadj
Aidha tunaaswa kudumisha amani, mshikamano na upendo baina yetu.
' Ilemela ni yetu, tushirikiane kuijenga '
Imetolewa na
Ofisi ya mbunge
Jimbo la Ilemela
22.08.2018
No comments:
Post a Comment