Tuesday, September 18, 2018

WAKUFUNZI WAENDELEA KUTOA ELIMU YA UJASIRIAMALI MKOANI MWANZA


Leo ni siku ya pili tangu Semina ya Ujasiriamali ianze. 

Watoa Semina  wakiongozwa na Kenani Kihongosi ambaye pia ni M/Kiti wa UVCCM Mkoa wa Iringa  ameendelea kutoa Mafunzo .

Mkufunzi  Kenani Kihongosi  amefundisha mambo mengi kama vile Utengenezaji wa Sabuni ya Maji,Kilimo cha Kitungu Maji na Kilimo cha tikiti Maji.







No comments:

Post a Comment