Wednesday, September 5, 2018

KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2018..

Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula anawatakia kheri wanafunzi wote wa darasa la Saba wanaotarajia kuanza mitihani yao ya kuhitimu elimu ya msingi siku ya Jumatano 05-06 Septemba, 2018.

Aidha anawaasa wahitimu hao kuwa waadilifu na kuzingatia taratibu zote za mitihani ili kupata wahitimu wenye weredi wa hali ya juu na wataalamu wa baadae au viongozi ambao hawatatiliwa shaka.

' Ilemela ni yetu, tushirikiane kuijenga '

Imetolewa na
Ofisi ya mbunge
Jimbo la Ilemela
04.09.2018

No comments:

Post a Comment