Monday, September 17, 2018

M/KITI UVCCM TAIFA KHERI DENIS JAMES AFUNGUA KONGAMANO LA SEMINA YA UJASIRIAMALI MKOA WA MWANZA


Umoja wa Vijana CCM Mkoa wa Mwanza umeandaa kongamano la ujasiriamali ambalo limeanzaa leo tarehe 17 september 2018 na litahitimishwa tarehe 19 september 2018.

Mgeni Rasmi ambaye ni M/Kiti UVCCM Taifa  Mh Kheri Denis James amefungua Semina  hii ya Ujasiriamali.

Katika ufunguzi Mgeni Rasmi amewapongeza viongozi wa UVCCM Mkoa wa Mwanza kuandaa Semina hii kwani ni moja ya  agizo alilolitoa toka aingie madarakani.

Aidha mbali na mambo mengi aliyoyazungumza amesasisitiza Vijana  wote kuhakikisha wanayafanyia kazi yote watakayojifunza kuanzia leo tarehe 17 /9/2018.

“Hakuna mafanikio yanayokuja bila jasho, ukioa mke hafu hufanyi kazi utabeba watoto wasio wako ila ukioa mke na unafanya kazi utabeba watoto wako.”

Amesema  KheriDenis James



No comments:

Post a Comment