Mwenyekiti wa chipkizi wa umoja wa vijana mkoa wa mwanza ndugu Maria K Kahungwa leo tarehe 14/6/2019
*Alialikwa kuwa mgeni rasmi katika fainali za mpira wa miguu ya watoto wenye umri chini ya miaka14(CHIPKIZI)
Mashindano hayo yameandaliwa na kuratibiwa na mkufunzi wa chipkizi wilaya ya ilemela na Comrade Mtoro
Jumla ya timu zipatazo tano (5) zilishiriki katika mashindano hayo yaliyo dumu kwa mda wa siku tatu
Timu zilizo shiriki fainali ni timu za MZALENDO NA HAPA KAZI
MZALENDO NDIO TIMU ILIYO IBUKA KIDEDEA NA KUCHUKUWA KOMBE
Akiongea na wachezaji mgeni rasmi wa fainali hizo binti Maria K kahungwa ambae ni mwenyekiti wa chipkizi mkoa wa mwanza amewaomba wazazi wajenge utamaduni wa kuwaruhusu watoto washiriki michezo mbalimbali mana michezo ni afya,ajira na huleta mshikamano
katibu hamasa ,chipkizi, sera na utafiti UVCCM mkoa wa mwanza
HUSSEIN A KIMU
TUKUTANE KAZINI







No comments:
Post a Comment