Saturday, June 22, 2019

UVCCM MKOA WA MWANZA WAFANYA ZIARA MAGU


UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM MKOA WA MWANZA)

Mapema leo umeendelea na ziara yake ya kuendelea kuimarisha jumuiya katika wilaya ya magu

wakipokelewa na wenyeji wao ambao ni mwenyekiti wa UVCCM MAGU Comrade Ayoub Bindule Mandazi  na katibu wake Comrade Shekhe Mamba pamoja na  wajumbe wa kamati ya utekelezaji wa UVCCM MAGU

Viongozi wa UVCCM MKOA WA MWANZA wakiongozwa na mwenyekiti wa UVCCM MKOA WA MWANZA Comrade Jonas Lufungulo na katibu wa UVCCM MKOA WA MWANZA Comrade Dennis Luhende ,mjumbe wa baraza Richard  Kashirimu na wajumbe wa kamati ya utekelezaji kwa pamoja wamekutana na wajumbe wa mabaraza ya kata kwa maeneo tofauti tofauti

Ziara hiyo imekuwa ya mafanikio kwa vijana wa magu kwa sababu imeongeza tija na mshikamano kwao

Umoja na mshikamano baina ya vijana na chama ,vijana na serikali,namna ya kuzipata frusa za vijana*na hamasa ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa 2019

Pia viongozi wa uvccm  mkoa  wametembelea kikundi cha vijana wajasilia mali wa mikokoteni(MATORORI)

Nakuwasaidia changamoto zilizo kuwa zinawakabili

KATIBU HAMASA ,CHIPKIZI ,SERA NA UTAFITI UVCCM MKOA WA MWANZA
Hussein Kimu
KUTUTANE KAZINI

MWANZA YA KIJANI INAENDELEA MTAA KWA MTAA





















No comments:

Post a Comment