Kamati ya siasa mkoa wa Mwanza chini ya Mwenyekiti Dr Antony Diallo ilijigawa katika makundi matatu kwa lengo la kukaguwa ujenzi wa Madara ya Fedha za UVIKO19 zilizotolewa na Rais wa awamu ya Sita Samia Suluhu Hassan mama wa Vitendo
Kundi lililo ongozwa na Mnec Jamal Babu na Mwenyekiti UWT (M) Ma Helen Bogohe ,Katibu jumuiya ya wazazi Zamda kamugisha na katibu wa Uhamasishaji na Chipkizi UVCCM (M) Ndugu Hussein A Kimu walitembelea wilaya ya Kwimba
Katika ukaguzi huo Mnec Jamal Babu amewataka viongozi wanao simamia miradi hiyo ya ujenzi wa madarasa kukamilisha kwa mda uliopagwa na kuendelea kuhakikisha ubora na usimamizi wa fedha hizo
Thursday, December 23, 2021
ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA MWANZA YA KUKAGUWA UJENZI WA MADARASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment