Mapema Leo katibu wa UVCCM( W) ya Ilemela Ndugu HAMISI MAGOHE ameendelea na Ziara yake katika kata ya Kahama na Shibula
Katika
ziara hiyo aliyoambatana na Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi Ndugu
Edwine Kabide ,katibu huyo amezidi kutoa maelekezo mablimbali yanayohusu
uchaguzi na zoezi la uchukuaji na urejeshwaji wa fomu katika matawi
Akizungumza
na vijana pamoja na makatibu wa CCM wa matawi mbalimbali ,katibu
amewakusha Viongozi wa jumuiya ya vijana kuhakikisha kuwa wanasimamia
kanuni ,muongozo na taratb mbalimbali za Chama na jumuiya yake ili
kufanikisha zoezi la uchaguzi kwenda Kwa haki na uwazi
Pamoja
na mambo mengine ,katibu huyo ametumia nafasi hiyo kuwakumbusha vijana
kujitokeza Kwa wingi na kutoa Hamasa Kwa wananchi katika maeneo Yao
kujitokeza Kwa wingi ili waweze kuhesabiwa pindi zoezi hilo la sensa
litakapofika
#Kazi iendelee
#Ilemela kazini
#Viva Vijana Viva
No comments:
Post a Comment