Mapema
Leo Waziri wa Ardhi ,Nyumba na maendeleo ya makazi DR ANGELINE SL
MABULA ( MB) wa Jimbo la Ilemela ameshiriki katika maadhimisho ya miaka
100 ya Hayati JK Nyerere
Katika
maadhimisho hayo yaliyohudhuliwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali
wameaswa kuyaishi na kuyaendeleza mema yote aliyoyafanya Hayati JK
Nyerere enzi za uhai wake
#Kazi iendelee
#Nshimba Nkema kazini
#Ilemela ni yetu tushirikiane kuijenga
No comments:
Post a Comment