BismillahI alrahmani alrahim.
Baraza kuu la waisilamu Tanzania 🇹🇿 (BAKWATA) Mkoa wa Singida imemtunuku cheti cha pongezi Ndg. Ahmed Misanga kwa Kuendelea Kutoa Mchango wake kwa Watu wenye uhitaji Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan,Ndg.Ahmed Misanga aliongoza RAMADHAN CHARITY PROGAMME 2024 , na kufikia zaidi ya Wahitaji 1500.
JAZAKALLAH KHEIR
No comments:
Post a Comment