Tuesday, January 2, 2018

MAPOKEZI YA MWENYEKITI UVCCM TAIFA NA MAKAM MWENYEKITI UVCCM TAIFA YANAFANYIKA LEO TAREHE 2 JANUARY 2018 SAA 7 MCHANA JIJINI MWANZA


Umoja wa vijana UVCCM Mwanza  ikishirikiana na  Ofisi ya Mbunge wa jimbo la Ilemela  Mh DK Angelina Mabula. Unawaalika wapenzi wananchi, wakeleketwa na wanachama wa CCM. UVCCM, UWT na Wazazi katika mapokezi  rasmi ya mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu  KHERI JAMES na makamu wa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu  TABIA MAULID MWITA.

Shughuli hii itafanyika  siku ya leo Jumanne tarehe 2 January 2018 katika uwanja wa CCM Kirumba muda kuanzia  saa 7 kamili Mchana. 

Pia mapokezi haya yatachagizwa na burudani mbalimbali, njoo tuchagize kwani huyu ni mwakilishi wetu katika kamati kuu ya taifa. Wenye sare zao njooni  kijani itapendeza Zaidi na kama ukikosa vaa vazi lolote imladi usimukwaze mtu.

 KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.   

NYOTE MNAKARIBISHWA  


No comments:

Post a Comment