UVCCM Mkoa wa Mwanza inaungana na Waislamu nchini leo na katika nchi mbalimbali, kusherehekea sikukuu ya Idd el Hajj.
Maadhimisho
ya sikukuu hiyo kitaifa yanafanyika jijini Dar es Salaam. Pia swala ya
Idd leo hii itafanyika katika Uwanja wa Msiksti Tamaa uliopo Vingunguti
na Baraza la Idd litafanyika hapo hapo baada ya swala hiyo.
UVCCM Mwanza Tunawatakia Sikukuu Njema Waislamu Wote Nchini
UVCCM Mwanza Tunawatakia Sikukuu Njema Waislamu Wote Nchini

No comments:
Post a Comment