Thursday, September 20, 2018

M/KITI UVCCM TAIFA NDUGU KHERI DENIS JAMES APOKEA MADIWANI WAWILI KUTOKA VYAMA VYA UPINZANI WALAYA YA MISUNGWI

M/Kiti wa UVCCM Taifa Ndugu Kheri Denis James Leo hii mbali na kutembelea miradi mbalimbali amewapokea wanachama wapya kutoka vyama vya Upinzani.

Moja ya watu waliohama kutoka upinzani  ni Diwani wa kata ya Buhingo Ndugu Marco Kadala na Diwani wa kata ya Sumbuigu Ndugu Elikana Isanzu.

Tukutane Kazini









No comments:

Post a Comment