Ni
final ya league daraja la NNE wilaya ya Nyamagana itakuwa Leokatika viwanja Nyamagana kwanzia saa 9:00
alasiri na mgeni rasmi ni Mbunge Jimbo la Nyamagana Mhe Stanislaus Mabula
" Mtoto wa Mjini".
Kwa
wajanja wote, wapenzi wa Mpira wa Mguu "Soccer"njoo wewe, Mimi,Wale, Sisi maana hii sio ya
kukosa⚽ nani atachukua kombe tutajua baadekipenga kitakapo pulizwa DK ya 90 hivi leo..
No comments:
Post a Comment