Friday, October 12, 2018

Mjumbe baraza kuu uvccm taifa ndg Kashilimu Juma Richard ashiriki na watumishi wa serikali wa halmashauri ya Wilaya ya sengerema katika kufanya usafi wa soko na mitaro Wilayani sengerema

Hii ni siku maalumu iliyopangwa katika kuazimisha kumbukumbu  za hayati Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere

Kashilimu Juma Richard
Uongozi ni kujitolea kwa manufaa ya wengine
Tuipende nchi yetu






No comments:

Post a Comment