Sunday, November 11, 2018

KATIBU HAMASA NA CHIPKIZI UVCCM MKOA WA MWANZA ASHIRIKI UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHIPKIZI WILAYA YA NYAMAGANA LEO TEREHE 11/10/2018

Ndugu Hussein A.Kimu  katibu hamasa na chipkizi wa umoja wa vijana mkoa wa mwanza 

Amewaasa viongozi waliohudhuria mkutano huo wa uchaguzi kulinda na kudumisha misingi ya maadili na uongozi wa chipkizi kwa kuwalea vizuri kiuongozi na kuwaendeleza kitaluma ,

Ndugu Kimu aliwaomba viongozi kuanzia ngazi ya tawi, kata na wilaya  waanzishe vituo vya mafunzo ya taluma,Uzalendo na ukakamavu  (Tuition center) ,

Mwenyekiti wa chipkizi wilaya ndugu Edsoni  Charles aliyo maliza mda wake leo amekabidhi kijiti kwa mwenyekiti mpya 🤝🏻

Ndugu Shabani Abdallah🙏🏻 ambae aliwashukuru wajumbe kwa kumuamini na kumpa nafasi yakuwa mwenyekiti wa chipkizi wilaya ya Nyamagana aliwaahidi wajumbe
Kuwatumikia kwa waledi

TUKUTANE  KAZINI

No comments:

Post a Comment