Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa ccm mkoa wa mwanza comrade Jonas Lufungulo amempongeza Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi Taifa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe John Pombe Magufuli kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya za kuwaletea maendeleo WATANZANIA kwa kipindi kifupi alicho kaa madarakani_matokeo chanya yanaonekana katika sekta zote mfano
Afya,Elimu,miundo mbinu,usafiri wa anga ,*NK
Katibu wa umoja wa vijana mkoa wa mwanza comrade Dennis Luhende alitumia kikao hicho cha baraza kuwaasa vijana kujenga utamaduni wa kufanya kazi kwa bidii na kuwa watiifu juu ya maagizo na maelekezo yanayo tolewa na viongozi wa ngazi za juu
Mbunge wa viti maalumu kupitia vijana
bi Maria Kangoe akiongea na wajumbe wa baraza la vijana mkoa wa mwanza aliwapongeza wajumbe wa baraza kwa kuwa wabunifu wa kuanzisha miradi ya kiuchumi
Bi Maria Kangoe ameamuwa kuwaunga mkono vijana kwa kuwapatia nyenzo za mashine za kufanyia kazi ilikuendana na Tanzania ya viwanda
kupitia baraza hilo mbunge wa vijana alikabidhi mashine ya kuchomelea kwa vijana wa wilaya ya misungwi ikiwa ni mwendelezo wake wakutoa nyezo kwa vijana wilaya zote za mkoa wa mwanza
Pia kikao hicho kilihudhuriwa na Mwenyekiti wa vijana Taifa (MCC) Comrade KherMwenyekiti ambae ni mjumbe halali wa baraza la vijana mkoa wa mwanza kwa mujibu wa kanuni ya umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi
Mwenyekiti wa vijana Taifa aliwasii vijana kuendeleza misingi ya umoja ,mshikamano, upendo na uzalendo kwa lengo la ujenzi wa Taifa letu
Hussein A Kimu
Katibu hamasa,chipkizi,Sera na utafiti uvccm mkoa wa mwanza
TUKUTANE KAZINI










No comments:
Post a Comment